sw_tn/jhn/19/01.md

4 lines
243 B
Markdown

# Salaam, mfalme wa Wayahudi
Hii "Salaam" inayoambatana na mkono ulioinuliwa ilitumika kwa msalimia Kaisari pekee yake. Wakati asakari wakitumia kofia ya miiba na vazi la dhambarau kwa kumkejeli Yesu, hawakumtambua kwa hakika kuwa ni mfalme.