sw_tn/jhn/17/06.md

8 lines
168 B
Markdown

# Si wa Dunia
Hapa neno "Dunia" humanisha watu wa dunia. Hii inamaanisha Mungu amewatofautisha na wale wasioamini.
# Wamelishika neno lako
Wameyatii mafundisho yako