sw_tn/jhn/14/18.md

225 B

Ulimwengu

Watu ambao hawajamwamini Mungu

mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba

Kuamini kwa kweli katika Kristo, Baba na Mwana huishi ndani ya muumini kupitia Roho.

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu