sw_tn/jhn/14/15.md

249 B

Mfariji

Neno linaelezea Roho Mtakatifu, "ambaye atakuja karibu kuwasaidia." Kuwafundisha wanafunzi

Roho wa Kweli

Roho Mtakatifu

ambaye ulimwengu hautampokea

Hapa neno "ulimwengu" linamaanisha watu wasioamini. Watu walio kinyume na Mungu.