sw_tn/jhn/13/06.md

234 B

Bwana, unataka kuniosha miguu yangu?

Swali la Petro linaonesha kwamba hayupo tayari kuosha miguu yake na Yesu.

Kama sitakuosha miguu, basi hauna shirika nami

Yesu anatumia maneno magumu kumshawishi Petro akubali kuoshwa miguu.