Sentensi unganishi
Mstari wa 3 unaendelea kutufahamisha mambo ambayo Yesu aliyajua.
alivitoa vitu vyote kwa mkono wake
Hapa 'Mkono" unamaanisha mamlaka
alitoka kwa Mungu na alikuwa anarejea kwa Mungu
Yesu alikuwa na Baba siku zote, na angerudi kwake baada ya kumaliza kazi yake hapa duniani.