sw_tn/jhn/13/03.md

303 B

Sentensi unganishi

Mstari wa 3 unaendelea kutufahamisha mambo ambayo Yesu aliyajua.

alivitoa vitu vyote kwa mkono wake

Hapa 'Mkono" unamaanisha mamlaka

alitoka kwa Mungu na alikuwa anarejea kwa Mungu

Yesu alikuwa na Baba siku zote, na angerudi kwake baada ya kumaliza kazi yake hapa duniani.