sw_tn/jhn/12/48.md

249 B

katika siku ya mwisho

wakati ambapo Mungu atahukumu dhambi za watu

Nami najua ya kuwa amri yake ni uzima wa milele

Nami najua ya kuwa maneno aliyoniagiza mimi kusema ni maneno yaletayo uzima milele.

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu