sw_tn/jhn/12/44.md

241 B

Maelezo ya jumla

Huu ni wakati mwingine ambapo Yesu anaanza kuongea na makutano

Yesu alilia na kusema

Hii inamaanisha kuwa Yesu alipiga kelele na kusema

yeye anionaye mimi amemwona yule aliyenituma

"yeye" hapa inamaanisha "Mungu"