sw_tn/jhn/12/25.md

369 B

Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimwengu huu atausalimisha hata uzima wa milele.

"Kwa jinsi iyo hiyo, yeyote apendaye mapenzi yake, huyaharibu maisha yake. Bali yeye asiyefuata mapenzi yake, kwasababu ya utii kwangu, ataishi na Mungu milele."

anapenda maisha yake...huchukia maisha yake

Hii inamaanisha uzima wa mwili.