sw_tn/jhn/12/23.md

416 B

Maelezo ya jumla:

Yesu anaanza kuwajibu Filipo na Andrea.

Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa matunda mengi.

"Kuwa makini zaidi na mfano huu ninaowaambia. Uhai wangu ni kama mbegu iliyopandwa katika nchi na kufa. Kama isipopandwa, hubakia mbegu moja tu. Lakini ikipandwa, hubadilika na kukua kwa kuzaa mbegu nyingi zaidi."