sw_tn/jhn/12/16.md

208 B

wakati Yesu alitukuzwa

"wakati Mungu alimtukuza Yesu"

walikumbuka ya kuwa mambo haya aliandikiwa yeye

Yohana, mwandishi, anafafanua hapa ili kumpa msomaji taarifa za jinsi mitume walivyoelewa baadaye.