sw_tn/jhn/11/56.md

623 B

Walikuwa wakimtafuta Yesu

Neno "Walikuwa" linawazungumza Wayahudi waliosafiri kuja Yerusalemu.

Unafikiri nini? Kwamba hawezi kuja katika sikukuu?

Mzungumzaji hapa alikuwa akishangaa ikiwa Yesu atakuja katika sikukuu ingawa kulikuwa na hatari ya kukamatwa. Aliwauliza wengine waliomzunguka kuhusiana na mawazo yao. "Mnafikiri Yesu anaweza kuwa woga sana kuja katika sikukuu?"

Sasa wakuu wa makauhani

Haya ni maelezo ya nyuma ambayo yanaelezea kwa nini waabudu wa Kiyahudi walikuwa wakishangaa ikiwa Yesu atakuja katika sikukuu au la. Ikiwa lugha yako inayo njia ya kuweka alama ya maelekezo ya nyuma fanya hivyo.