sw_tn/jhn/11/43.md

277 B

Amefungwa mikono na miguu kwa nguo za kuzikia, na uso wake ulikuwa umefungwa kwa nguo.

Utamaduni wa kuzika kwa wakati huu ulikuwa wa kuufunga mwili wa marehemu kwa nguo ndefu za kitani

Yesu aliwaambia

Neno "wao" linamaanisha juu ya watu waliokuwa pale na kuona muujiza.