sw_tn/jhn/11/38.md

236 B

Je sikusema kwamba, ikiwa utaamini, utauona utukufu wa Mungu?

"Kumbuka kwamba nilikuambia, ikiwa utaniamini, utaona ni kwa jinsi gani Mungu ni Mkuu

mpaka muda huu mwili wake utakuwa umeoza

mpaka muda huu kutakuwa na harufu mbaya