sw_tn/jhn/11/17.md

307 B

Maelezo ya jumla:

Kwa sasa Yesu yupo Bethania.

alimkuta Lazaro tayari alikuwa kaburini kwa muda wa siku nne

Unaweza kutafasiri hivi pia, "alijua kwamba watu walikuwa wamekwisha kumweka Lazaro kaburini kwa muda wa siku nne kabla ya yeye kufika"

kuhusiana na kaka yao

Lazaro alikuwa kaka yao mdogo