sw_tn/jhn/10/17.md

694 B

Anapenda

Aina hii ya upendo hutoka kwa Mungu, na unaelekezwa kwa ajiliya mema ya wengine, hata kama haimfaidii mtu binafsi. Aina hii ya upendo huwajali wengine, haijalishi wamefanya nini.

Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Nami nautoa uhai wangu

Mpango wa Mungu wa milele ulikuwa kwa Mungu Mwanakuutoa uhai wake ili kulipa kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo cha Yesu Msalabani unafunua wenye nguvu wa Mwana kwa Baba na wa Baba kwa Mwana.

Baba

Hiki ni cheo maalumu cha Mungu.

Ninayatoa maisha yangu ili kwamba nipate kuyatwaa tena

Hii ni njia ya upole ya Yesu kusema atakufa na baadaye kuwa mzima tena. "Najiruhusu mwenyewe kufa ili kwamba ninaweza kujirudisha kuwa mzima tena.