sw_tn/jhn/07/40.md

369 B

Nini, Kristo anaweza kutokea Galilaya?

"Kristo hawezi kutoka Galilaya."

Maandiko hayasemi kwamba Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji alichokuwa Daudi?

"Maandiko yanafundisha kwamba Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi alikuwa."

Maandiko hayajasema?

"Manabii waliandika katika maandiko."