sw_tn/jhn/07/19.md

204 B

Musa hakuwapa ninyi sheria?

"Ni Musa aliyewapa ninyi sheria."

Kwa nini mnataka kuniua?

"Mnatafuta kuniua."

Una pepo

"Wewe ni kichaa."

Nani anataka kukuua?

"Hakuna yeyote anayetaka kukuua."