sw_tn/jhn/07/17.md

239 B

Lakini yeyete atafutaye utukufu wake aliyenituma, mtu huyo ni wa kweli na ndani yake hakuna kutokutenda haki.

"lakini ninafanya mambo ili kwamba wengine wapate kumheshimu yeye aliyenituma, nami ni yule asemaye kweli. Sidanganyi kamwe."