sw_tn/jhn/06/46.md

465 B

kinganishi cha maneno

Yesu anaendelea kuongea na mkutano na viongozi wa Wayahudi.

Amini, amini

Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namna hii.

hakuna mtua yeyote aliyemwona, isipokuwa yeye aliyetoka kwa Mungu

Ingawa hakuna mwadamu aishie katika dunia amemwona Mungu Baba, Yesu, Mwana wa Mungu, amemwona Baba.

Baba

Cheo muhimu kwa mungu.

yeye aaminiye ana uzima wa milele

"uzima wa milele" umeunganishwa katika Yesu, Mwana wa Mungu.