forked from WA-Catalog/sw_tn
465 B
465 B
kinganishi cha maneno
Yesu anaendelea kuongea na mkutano na viongozi wa Wayahudi.
Amini, amini
Tafsiri hii kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namna hii.
hakuna mtua yeyote aliyemwona, isipokuwa yeye aliyetoka kwa Mungu
Ingawa hakuna mwadamu aishie katika dunia amemwona Mungu Baba, Yesu, Mwana wa Mungu, amemwona Baba.
Baba
Cheo muhimu kwa mungu.
yeye aaminiye ana uzima wa milele
"uzima wa milele" umeunganishwa katika Yesu, Mwana wa Mungu.