sw_tn/jhn/06/41.md

217 B

Kiunganishi cha Maneno:

Viongozi wa Wayahudi wanaingilia kati wakata Yesu anaongea na mkutano.

nung'unika

Kuongea katika hali ya kutokuwa na furaha

Mimi mkate wa uzima

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri 6:35