sw_tn/jhn/06/26.md

610 B

Amini, amini

tafsiri hili kama ulivyo tafsiri mengine kama haya maneno.

uzima wa milele ambao Mwana wa Adamu atawapa ninyi, Mungu Baba ametia muhuri juu yake

Baba amfanya uthibitisho wake kwa Yesu, Mwana wa Adamu na Mwanawa Mungu, kutoa uzima wa milele kwa wale wanao amini katika yeye. Baba na Mwana wamekwisha timiza msamaha wa milele na uzima.

Mwana wa Adamu, Mungu Baba

Hivi ni vyeo muhimu ambavyo zinaelezea uhusiano kati Mungu na Yesu.

ametia muhuri juu yake

"ametia muhuri" juu ya kitu maana yake kuweka alama juu yake kuonesha ina milikiwa na.Hii ina maana kuwa Mwana anatokana na Baba.