sw_tn/jhn/05/45.md

538 B

Yupo mwingine ambaye anawashitaki

Mungu alitoa sheria, ili kwamba mahitaji ya agano, kwa Israeli kupitia Musa. Hiki ndicho Wayahudi walimaanisha walipokuwa wakisema, "Musa alitupa sheria."Lakini kwa Waisraeliambao hawakutii sheria, Yesu alimaanisha kuwa Musa angewa shitakikwa kutokutii. Lakini "Musa" anasimama hapa kwa niaba ya sheria yenyewe.

matumaini yenu

"ujasiri wenu'

kama hamyaamini maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu?

"Hamuamini maandiko , hivyo hamtaamini maneno yangu!"

maneno yangu?

"Ninachosema?"