sw_tn/jhn/04/28.md

528 B

Njoni mumwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda

Hii ni hali ya kusema jambo dogo kwa kulikuza. Mwanamke Msamalia anavutiwa na Yesu na kwamba anaamini kuwa Yesu anawelewa mambo yote. "Njooni mumwone mtu anaye fahamu mengi zaidi kunihusu, pamoja kwamba sijawahi kukutana naye!"

Yamkini akawa ndiye Kristo, inawezakana?

Mwanamke hana uhakika kuwa Yesu ni Kristo, kwa hiyo anauliza swali ambalo linahitaji jibu la '"hapana" lakini anauliza swali badala ya kuweka sentesi kwa sababu anataka watu wenyewe waamue wenyewe.