sw_tn/jhn/04/21.md

760 B

niamini

Kumwamini mtu ni kukubali kuwa alichokisema ni kweli.

Ninyi mwaabudu msichokijua. Twaabudu kile tukijuacho

Yesu alimaanisha kuwa Mungu amajifunua na amri zake kwa Wayahudi, sio kwa Wasamalia. Kupitia maadiko Wayahudi wanajua Mungu ni nani kuliko Wasamalia.

Mtamwabudu Baba...kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi

Wokovu wa milele kutoka dhambini unatoka kwa Mungu Baba, ambaye ni Yaweh, Mungu wa Wayahudi.

Baba

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.

Kwa sababu wokovu watoka kwa Wayahudi

Hii haimaanishi kuwa Wayahudi watawaokoa wengine kutoka dhambini. Ina maanisha kuwa Mungu amewachagua Wayahudi kama watu maalumu ambao watakaowambia watu wengine kuhusu wokovu wake. "kwa sababu watu wote watafahamu wakovu wa Mungu kwa sababu ya Wayahudi.