sw_tn/jhn/04/09.md

488 B

Kisha mwanamke Msamalia akamwambia

Neno "akamwambia" linamaanisha Yesu.

Inawekanaje wewe uliye Muyahudi unaomba maji ya kunywa?

Hili neno linaonekana katika muundo wa swali kuonesha mshangao wa mwanamke kwa Yesu kuomba maji. "Siamini kama wewe uliye Muyahudi unamwomba mwanamke Msamalia maji!"

hamchangamani na

"hamchangamani na."

maji ya uzima

Yesu anatumia mfano "maji ya uzima" kumaanisha Roho Mtakatifu ambaye anafanya kazi ya kumbadilisha mtu na kuleta maisha mapya.