forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
511 B
Markdown
20 lines
511 B
Markdown
# Viunganishi vya maneno:
|
|
|
|
Yohana Mbatizaji anaendelea kuongea.
|
|
|
|
# Yeye aliye naye bibi harusi ndiye bwana harusi
|
|
|
|
Hapa bwana na "bibi" "arusi" ni mfano. Yesu ni kama "bwana arusi" na Yohana ni kama rafiki wa bwana arus." "bwana huoa bibi
|
|
|
|
# Hii, tena, furaha yangu imetimilizwa
|
|
|
|
'' Hivyo tena ninafurahia sana" au nina furahia zaidi."
|
|
|
|
# furaha yangu
|
|
|
|
hili neno "yangu" lina maanisha Yohana Mbatizaji , ndiye anayeongea.
|
|
|
|
# Ni lazima aongezeke
|
|
|
|
anamaanisha bwana arusi, Yesu, ambaye ataendelea kuwa wa muhimu.
|