sw_tn/jhn/03/27.md

367 B

Mtu hawezi kupokea kitu chochote isipokuwa

"Hakuna mtu aliye na nguvu isipokuwa"

amepewa kutoka mbinguni

Neno "mbinguni" likimaanisha Mungu. Hili linaweza kuchukuliwa katika muundo tenda. " Mungu amempa."

ninyi wenyewe

ninyi ni kwa wingi na inamaanisha watu wote ambao Yohana anazungumza nao.

nimetuma mbele zake

"Mungu amenituma kufika kabla yake."