sw_tn/jhn/03/25.md

300 B

kukatokea malalamiko baina ya baadhi ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi

"Tena wanafunzi wa Yohana na Myahudi wakaanza kubishana.

kutoelewana

kugombana kwa maneno

tazama, anabatiza

Katika sentesi hii "tazama" ni amri ikimaanisha tilia manani!" " Tazama! Anabatiza" au " Tazama! anabatiza."