sw_tn/jhn/03/05.md

318 B

amezaliwa kwa maji na kwa roho

kuna maana mbili: 1)"kubatizwa ndani ya maji na katika Roho" au 2)"kuzaliwa kimwili na kiroho"

Amini, amini

unaweza kufasiri mane haya kama yalivyotumika katika tafsiri za hapo mwanzo.

ufalme wa Mungu

Neno "ufalme" ni fumbo kwa ajili ya utawala wa Mungu katika maisha ya mtu.