sw_tn/jhn/03/03.md

836 B

Kiunganishi cha sentesi:

Yesu na Nikodemo wanaendelea kuongea.

Amini, amini

Tafsiri haya kama ulivyotafsiri 1:49; 1:51.

zaliwa mara ya pili

"kuzaliwa kutoka juu" au kuzaliwa na Mungu."

ufalme wa Mungu

Neno "ufalme" ni mfano kwa utawala wa Mungu." 'Sehemu ambayo Mungu anatawala."

Je mtu anaweza kuzaliwa awapo mzee?

Nikodemo alitumia swali hili kusisitiza kwamba hili lisingelitokea. "Ni kweli mtu hawezi kuzaliwa tena wakati akiwa mzee!"

Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili ili azaliwe, je anaweza kufanya hivyo?

Pia Nikodemo anatumia swali hili kusisitiza imani yake kuwa imani yake kuwa kuzaliwa mara ya pili ni jambo lisilowezekana." Ni kweli, hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili!"

mara ya pili

"tena"au "mara mbili"

tumbo

sehemu ya tumbo la mwanamke ambapo mtoto hukulia.