sw_tn/jhn/02/12.md

8 lines
254 B
Markdown

# akateremka
Hii inamaanisha kwamba walisafiri kutoka sehemu ya mwinuko kuelekea bondeni. Kana in kusini magaharibi ya Kaperanaumu na iko juu.
# ndugu zake
Neno "ndugu"linajumisha kaka na dada. Kaka na dada wa Yesu walikuwa wadogo kuliko alivyokuwa.