forked from WA-Catalog/sw_tn
315 B
315 B
Nathanaeli akamwambia
"Nathaneli akamwambia Filipo."
Je jambo jema laweza kutoka Israeli?
Neno hili lijitokeza kama swali kuonyesha msisitizo.AT: "Hakuna kitu kizuri kinaweza kutoka Nazarti."
ambaye ndani yake hakuna udanganyifu
Hili linaweza kusema katika mtazamo chanya. AT: "mtumkweli aliyekamilika."