sw_tn/jhn/01/14.md

24 lines
750 B
Markdown

# Neno
Huu ni mfano ambao unamaanisha kwa Yesu. Yeye ndiye aliye mfunua Mungu alivyo.
# Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa cha Mungu.
# amejaa neema
AT: "ambaye mara zote hufanya kwa wema kwa ajili yetu katika njia mbazo hatustahili."
# yeye ajaye baada yangu
Yohana anaongea kuhusu Yesu. Neno "anakuja baada yagu" linamaanisha kwamba huduma ya Yohana ilikuwa tayari imeanza na huduma ya Yesu itaanza baadaya, baada ya Yohana.
# ni mkuu kuliko mimi
"ni mkuu zaidi yangu" au" ni muhimu zaidi"
# kwa sababu amekuwapo kabla yangu
Kuwa mwangalifu usitafsiri kwamba Yesu ni wa muhimu zaidi kwa sababu ni mzee kuliko Yohana. Yesu ni mkuu zaidi ya Yohana kwa sababu yeye ni Mungu Mwana, ambaye amekuwepo na kutawala juu ya vitu vyote pamoja na Mungu.