forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
558 B
Markdown
20 lines
558 B
Markdown
# Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi
|
|
|
|
Yeremia anafananisha hisia zake na wimbo wa huzuni.
|
|
|
|
# Moyo wangu unaombileza
|
|
|
|
"moyo" inamaanisha hisia za ndani anazihisi Yeremia. "Nina huzuni sana kwa ajili yake."
|
|
|
|
# Kir Heresi
|
|
|
|
Kir-Heresi ulikuwa mji wa zamani wa Moabu kama kilimeta 18 mashariki mwa bahari ya Shamu.
|
|
|
|
# Kwa kila kichwa kuna kipara na ndevu zote zimenyolewa. Chale zipo katika kila mkono na magunia yanazunguka kiuno chake.
|
|
|
|
Haya ni mambo ambayo watu wa Moabu hufanya wanapoomboleza au kuwa na masikitiko.
|
|
|
|
# Chale
|
|
|
|
Kukata ngozi
|