forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
697 B
Markdown
32 lines
697 B
Markdown
# Angalia
|
|
|
|
"kusikiliza" au "kuwa makini na kile ninachokuambia"
|
|
|
|
# hili ni tamko la Bwana
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
|
|
|
|
# mahali hapa hapataitwa tena
|
|
|
|
"watu hawataita tena mahali hapa"
|
|
|
|
# Tofethi....bonde la Ben Hinomu....bonde la machinjo
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 7:31.
|
|
|
|
# Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao
|
|
|
|
"Nitawafanya maadui wao kuwaua kwa mapanga"
|
|
|
|
# kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha kimsingi kitu kimoja kama maneno ya awali. AT "Nitawawezesha wale ambao wanataka kuwaua kuwaua"
|
|
|
|
# milele
|
|
|
|
"S" sauti, ambayo inaonyesha kukataa kwa nguvu.
|
|
|
|
# Nitawafanya kula
|
|
|
|
"Nitawafanya watu wanaokaa Yerusalemu kula"
|