sw_tn/jdg/21/06.md

473 B

ndugu yao Benyamini.

"ndugu yao Benyamini" inamaanisha uzao uliobaki wa Benjamini.

kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli

Kuharibiwa kwa kabila la Benyamini kunafananishwa na kukatiliwa mbali kutoka katika Israeli.

Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?

Waisraeli walitaka kuwapa wake Wabenyamini waliosalia lakini ahadi waliyoiweka Mispa iliwazuia kufanya hivyo.