sw_tn/jdg/21/04.md

418 B

Watu wa Israeli wakasema, "Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?

Watu wanaukumbuka mkutano wa Waisraeli kule Mispa kabla ya kuwakamata Wabenyamini.

Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, "Hakika yeye atauawa."

Mwandishi anaeleza ahadi ambayo Waisraeli waliifanya huko Mispa kabla hawajakamatwa na Wabenyamini.