sw_tn/jdg/20/31.md

224 B

kupigana na watu

"Kupigana dhidi ya watu wa Israeli"

wakachukuliwa mbali na mji

"Watu wa Israeli wakawachukua nje ya mji"

Walianza kuua baadhi ya watu

"Watu wa Benyamini wakaanza kuwaua baadhi ya watu wa Israeli"