forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
599 B
Markdown
20 lines
599 B
Markdown
# Ramath Lehi
|
|
|
|
Hili ni jina la mahali. Lenye maana ya kilima cha taya.
|
|
|
|
# alikuwa na kiu sana
|
|
|
|
"alihitaji maji ya kunywa"
|
|
|
|
# Lakini sasa nitakufa kwa kiu na kuanguka
|
|
|
|
Yaweza kuwa na maana ya 1)Samsoni alikuwa na kiu sana kiasi cha kufa. 2)Samsoni alitia chunvi kuonesha ni kwa kiasi gani alikuwa na kiu.
|
|
|
|
# kufa kwa kiu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa kufa kwa sababu hujanywa maji ya kutosha hivyo hauna maji ya kutosha mwilini.
|
|
|
|
# kuanguka mikononi mwa wale wasiootahiriwa?
|
|
|
|
"kuanguka mikononi" Hii inamaanisha kukamatwa. "Wasiotairiwa" hawa ni Wafilisti, hii inasisitiza kuonesha kuwa hawakumwabudu Bwana.
|