sw_tn/jdg/09/44.md

399 B

vitengo

"Makundi ya askari"

vingine viwili

"vingine 2"

Abimeleki alipigana ... Akabomoa

"Abimeleki" anawakilisha askari wake. "Abimeleki na askari wake walipigana... wakabomoa"

Dhidi ya mji

"mji" inawakilisha watu. "dhidi ya watu wa Shekemu"

Akabomoa

Akaharibu

kueneza chumvi juu yake

Kitendo cha kumwaga chunvi juu ya nchi ni kitendo cha kuzuia kitu chochote kisistawi hapo"