forked from WA-Catalog/sw_tn
399 B
399 B
vitengo
"Makundi ya askari"
vingine viwili
"vingine 2"
Abimeleki alipigana ... Akabomoa
"Abimeleki" anawakilisha askari wake. "Abimeleki na askari wake walipigana... wakabomoa"
Dhidi ya mji
"mji" inawakilisha watu. "dhidi ya watu wa Shekemu"
Akabomoa
Akaharibu
kueneza chumvi juu yake
Kitendo cha kumwaga chunvi juu ya nchi ni kitendo cha kuzuia kitu chochote kisistawi hapo"