sw_tn/jdg/08/20.md

240 B

Yetheri

Hili ni jina la mtoto wa Gideoni.

kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake

"Hii ni kazi ya mwanaume"

Makoja

Hili ni umbo ambalo hutokea wakati ambao mwezi umefunikwa kwa kiwango kikubwa na kivuli.

Mapambo

"mapambo"