forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
308 B
Markdown
8 lines
308 B
Markdown
# Hii si kitu kingine isipokuwa upanga wa Gideoni
|
|
|
|
"upanga wa Gideoni" inamaanisha jeshi la Gideoni linavamia. "mkate wa shayiri katika ndoto yako ni jeshi la Gideoni.
|
|
|
|
# Mungu amempa ushindi juu ya Midiani
|
|
|
|
Hili tukio la baadae linazungumzwa kama vile ni tukio lililopita. Inasisitiza kuwa lazima itatokea.
|