sw_tn/jdg/04/11.md

20 lines
227 B
Markdown

# Sasa
hapa msimuliaji anatuelezea habari kuhusu Heberi.
# Heberi ... Hobabu
Haya ni majina ya wanaume.
# Mkeni
Huyu ni mmoja ya watu wa Keeni.
# Mkwe wa Musa
"Baba yake na mke wa Musa"
# Saanaimu
Hili ni jina la mji.