forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
307 B
Markdown
12 lines
307 B
Markdown
# Wakati watumishi wakisubiri ... Ehudi alikimbia
|
|
|
|
Hii inaeleza nini kilitokea kabla watumishi hawajafungua mlango wa chumba cha juu na kukuta mfalme amekufa. "Wakati watumishi walipokuwa wakisubiri nje ya chumba cha juu ... Ehudi alikimbia"
|
|
|
|
# Seira.
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# Alipofika
|
|
|
|
"Alipofika Seira"
|