sw_tn/jdg/02/14.md

703 B

Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli

Hasira ya Bwana inaelezewa kama moto uwakao. "Bwana akakasirika juu ya wana wa Israeli"

akawapa washambuliaji walioiba mali zao kutoka kwao

"Akawaacha washambuliaji waibe mali zao"

Aliwauza kama watumwa waliofanyika kwa nguvu za maadui zao waliowazunguka, hivyo hawakuweza kujikinga dhidi ya adui zao

Bwana akaruhusu adui zao wawachukue Waisraeli kama watumwa, wakauzwa utumwani. "Aliwaruhusu adui zao kuwashinda na kuwachukua kama watumwa na hawakuweza kuishinda nguvu ya adui"

mkono wa Bwana ulikuwa dhidi yao kuwashinda

"Mkono" inawakilisha nguvu ya Bwana. "Bwana aliwasaidia adui zao kuwashinda"

walikuwa katika shida kali

"Waliteseka sana"