sw_tn/jdg/02/03.md

699 B

Maelezo ya jumla

Malaika wa Bwana anaendelea kuzungumza na wana wa Israeli.

Basi sasa nasema, "Sitawafukuza... miiba kwenu

Hii ni nukuu ndani ya nukuu. "Basi sasa nawaambia sitawafukuza ... miiba kwenu.'"

watakuwa miiba kwenu

Wakanaani wanaowasumbua Waisraeli wanazungumzwa kuwa Wakanaani watakuwa miiba kwa Waisraeli. "watawasababishia matatizo"

Miiba

Kipande cha mbao chenye ncha kali mpaka sentimeta 7 ambacho huchomoza pembeni ya mmea.

miungu yao itakuwa mtego kwa ajili yenu

Waisraeli kuabudu miungu ya Wakanaani ni sawa na miungu ya uongo inayofananishwa na mtego wa mwindaji unaowakamata wanyama na kusababisha madhara.

wakapiga kelele na kulia

"wakalia machozi mengi"