forked from WA-Catalog/sw_tn
699 B
699 B
Maelezo ya jumla
Malaika wa Bwana anaendelea kuzungumza na wana wa Israeli.
Basi sasa nasema, "Sitawafukuza... miiba kwenu
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. "Basi sasa nawaambia sitawafukuza ... miiba kwenu.'"
watakuwa miiba kwenu
Wakanaani wanaowasumbua Waisraeli wanazungumzwa kuwa Wakanaani watakuwa miiba kwa Waisraeli. "watawasababishia matatizo"
Miiba
Kipande cha mbao chenye ncha kali mpaka sentimeta 7 ambacho huchomoza pembeni ya mmea.
miungu yao itakuwa mtego kwa ajili yenu
Waisraeli kuabudu miungu ya Wakanaani ni sawa na miungu ya uongo inayofananishwa na mtego wa mwindaji unaowakamata wanyama na kusababisha madhara.
wakapiga kelele na kulia
"wakalia machozi mengi"