sw_tn/jdg/01/01.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Kitabu cha Waamuzi kinaendeleza simulizi ya Yoshua na pia ni mwanzo wa simulizi nyingine mpya.

atawashambulia Wakanaani kwa ajili yetu,

Neno "yetu" linamaanisha wana wa Israeli

Yuda atawashambulia

Hapa "Yuda" linawakilisha watu wa kabila la Yuda. Mungu anawaamuru watu hawa kushambulia kwanza. "Watu wa Yuda watashambulia kwanza"

Tazama

"Angalia" au "kweli". Hii inaongeza msisitizo wa kile kinachofuata.

Nchi hii

Hii inamaanisha nchi ambayo Wakanaani waliishi. "nchi ya Wakanaani"

Ndugu zao

"waisraeli wenzao" au "ndugu zao"

Njooni pamoja nasi

Watu wa kabila la Yuda na Simeoni waliweka kambi pamoja na Waisraeli katika bonde la mto Yordani. Yuda alipewa nchi ambayo ipo kwenye vilima juu ya bonde. Lugha zingine hazijaelezea kama watu walikwenda juu au chini. "njooni pamoja nasi" au "twendeni pamoja"

ambalo tulipewa... ambali mlipewa

"Ambalo Bwana alitupa sisi... ambalo Bwana aliwapa ninyi"

Tutakwenda pamoja nanyi

"sisi pia tutakwenda pamoja nanyi" au "kwa namna ile ile tutakwenda pamoja nanyi"