sw_tn/jas/04/11.md

577 B

Maelezo ya jumla

Maneno "wewe" au "ninyi" yametumika kuwaelezea waamini walioandikiwa na Yakobo.

Kunena kinyume

"kusema vibaya kuhusu" au "kupinga"

Ndugu

Yakobo anawazungumzia waamini kama ndugu waliozaliwa pamoja. "waamini wenzangu"

bali mnaihukumu

"bali mnafanya kama mtu anayetoa sheria"

Ni mmoja tu ambaye ni mtoa sheria na hakimu

Hapa anamaanisha Mungu. "Mungu ndiye atoaye sheria na ahukumuye"

Wewe ni nani ambaye unamhukumu jirani yako?

Yakobo anatumia swali hili kuikemea hadhira yake. "Ninyi ni binadamu na hamuwezi kuwahukumu binadamu wengine"