forked from WA-Catalog/sw_tn
577 B
577 B
Maelezo ya jumla
Maneno "wewe" au "ninyi" yametumika kuwaelezea waamini walioandikiwa na Yakobo.
Kunena kinyume
"kusema vibaya kuhusu" au "kupinga"
Ndugu
Yakobo anawazungumzia waamini kama ndugu waliozaliwa pamoja. "waamini wenzangu"
bali mnaihukumu
"bali mnafanya kama mtu anayetoa sheria"
Ni mmoja tu ambaye ni mtoa sheria na hakimu
Hapa anamaanisha Mungu. "Mungu ndiye atoaye sheria na ahukumuye"
Wewe ni nani ambaye unamhukumu jirani yako?
Yakobo anatumia swali hili kuikemea hadhira yake. "Ninyi ni binadamu na hamuwezi kuwahukumu binadamu wengine"