sw_tn/jas/03/15.md

1.3 KiB

Hii siyo

"Hii" inarejea katika wivu wa kijinga na nia za ubinafsi kama zilivyoelezwa katika mistari iliyipita.

Hekima ishukayo chini kutoka juu

Ubora wa hekima inayozungumziwa ni kana kwamba ni ile ambayo Mungu aliituma chini toka mbingune

Niya kidunia.

Neno "niya kidunia" humaanisha thamani na tabia za watu ambao hawamheshimu Mungu. "Kutomheshimu Mungu."

Ni ya kishetani.

"Bali ni kutoka kwa mapepo."

Kwa sababu mahali palipo na wivu na nia ya ubinafsi.

"Kwa sababu popote palipo na watu ambao hujihudumia wao binafsi bila kujali wengine."

Kuna ghasia.

"Kuna vurugu" au "kuna mtafaruku."

Kila tabia ya uovu.

"Kila aina ya tabia ya dhambi" au "kila aina ya tendo la uovu."

Kwanza ni safi.

"Kwanza ni takatifu."

Kisha yenye amani na upendo.

Inayopenda- "kisha ni yenye amani."

Yenye wema

Yenye moyo- "wema" au "yenye kujali."

Na tunda jema.

Tunda hili jema linalinganishwa na matendo mema. "matendo mema"

Kamilifu

"Yenye kuaminika" au "yenye ukweli."

Na tunda la haki limepandwa katika amani kwa wote watendao mambo ya amani.

Hii inalinganisha amani na haki katika maisha yetu kama kupanda na kuvuna mazao. "wale ambao huishi katika amani wanafafanya ambacho Mungu husema ni haki."

Si ya kiroho.

"Si ya kutoka kwa Roho Mtakatifu" au "si ya kiroho."

Juu

Hapa "juu" inamaanisha Mungu